Jumamosi, 8 Februari 2014

CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA CBE TAWI LA MWANZA CHAPATA PIGO


       

 Ni wanachuo  cha CBE mwanza wapata ajari ya gari  akiwemo aliekuwa Mr CBE mwanza 2012/2013  usiku wa kuamkia leo tarehe 8/2/2014  jijin dar es salaam  walikuwa watano kwenye gari hilo na watatu kufaliki hapohapo

  1. Tazama picha hizi enzi za uhai wao 






    2. ni mmoja ya kijana aliyekuwa Mr CBE mwanza campus


3.  ni baada ya kupata ajari na kufarik hapo hapo...... kweli dunia haina mwenyewe






4. Ikumbukwe kwamba kipindi kijana huyo anachukua Mr cbea ya ally thabit kumaliza muda wake katika taji hilo  nanmi nilikuwepo katika orodha ya wanachuo (wasanii) waliohudhuria na kuimba(kuburudisha)niliingia na dansers ilifanyika TUNZA BEACH MWANZA

Familia ya CBE itazid kuwakumbuka daima kwaa mchango wenu
Mungu ilaze miili ya marehemu wote pema pepon 
ameen
 



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni